sasa unaweza kuangalia matokeao yako yako ya second semista
kwa wale wa kuaapill muda ndo huuu
ila cio nzur
ni vema ukasapue tuuuu
ila kuna maticha kama .................
nenda tuuu ukaapill
afu kwa wale ambao hayja onekana kwa sababu mbalimbali mf. ada n.k
try to work on it pleaz
supp ni J3 ya 19/sep.......
wah mapema
Clash program nayo inaelekea kuisha
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni